Thursday, 13 March 2014

SIMBA YA ENDELEA KUUJINOA


Simba wakijifua.
Chillo akiumiliki mpira.
Kutoka kulia ni Edo, Baba Ubaya, Henry Joseph na Haruna Shamte.
GPLWakimaliza mazoezi kwa staili ya aina yake.
Wachezaji wa Simba leo asubuhi waliendelea kujifua kwenye uwanja wa Kinesi uliopo Ubungo Jijini Dar kwa ajili ya kujiweka sawa na mechi zilizobaki za Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo inaelekea ukingoni
.Chanzo GPL

No comments:

Post a Comment