Monday, 10 March 2014

MGIMWA APEWA B ARAKA ZA USHINDI JIMBO LA KALENGA

Sista Paula Msambwa akimuombea ushindi mgombea wa CCM katika uchaguzi mdogo Jimbo la Kalenga, Geodfrey Mgimwa, kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo, Tosamaganga, jimboni humo.
Sista Paula Msambwa (73), akisalimiana na mgombea ubunge Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya CCM, Godfrey Mgimwa baada ya kuwasili kwa ajili ya mkutano wa kampeni, katika Ofisi ya CCM, Tosamaganga, leo, Machi 10, 2014. Sista Paula amesema alimfundisha baba wa mgombea huyo, Marehemu Dk. William Mgimwa katika shule ya msingi Tosamaganga miaka 50 iliyopita.

No comments:

Post a Comment