WATU sita wamepoteza maisha wakati 74 wakijeruhiwa baada ya gesi
kuvuja na kusababisha mlipuko ulioporomosha majengo mawili katika eneo
la Manhattan Jijini New York, Marekani hapo jana! Majeruhi wote 74
wanapata matibabu katika hospitali nne jijini humo.
chanzo GPL
chanzo GPL





No comments:
Post a Comment