Thursday, 13 March 2014

AJIRA YAWATESA VIJANA DAR


Mwananchi ambaye jina lake halikufahamika, alinaswa na kamera yetu leo akiwa amelala fofofo Mtaa wa Garden Avenue, maeneo ya Posta.
MWANANCHI  ambaye jina lake halikufahamika, alinaswa na kamera yetu leo akiwa amelala fofofo Mtaa wa Garden Avenue, maeneo ya Posta huku watu wakimpita na kuendelea na shughuli zao kama kawaida.  Haikujulikana iwapo mtu huyo alikuwa na matatizo yoyote au la.
CHANZO GPL

No comments:

Post a Comment