Sunday, 23 March 2014

SIMBA ALIWA NA COASTA TAIFA

Mshambuliaji wa Simba Sc, Ramadhani Singano 'Messi' akikwaana na beki wa Coastal Union wakati wa mechi ya leo.
Mashabiki wa Simba SC wakiwa wamepoa.
Timu zikiingia uwanjani.
...Zikisalimiana kabla ya mtanange kuanza.
Kipa wa Simba SC, Ivo Mapunda, akijiandaa kuingia uwanjani.
Kikosi cha Simba SC kilichoanza mtanange wa leo.
Kikosi cha Coastal Union.
Benchi la ufundi la Coastal.
Benchi la ufundi la Simba SC.
Simba SC imeendelea kusuasua katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kupokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Coastal Union leo.
Bao la Coastal limewekwa kimiani na Hamad Juma dakika ya 45 kipindi cha kwanza katika mechi hiyo iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar.
VIKOSI VILIKUWA HIVI:
SIMBA SC
1.    Ivo Mapunda
2.    Haruna Shamte
3.    Issa Rashid
4.    Joseph Owino
5.    Donald Musoti
6.    Henry Joseph
7.    Omary Salum
8.    Jonas Mkude
9.    Haruna Chanongo
10.    Amisi Tambwe
11.    Ramadhan Singano
SUB
12.    Yaw Berko
13.    Awadh Juma
14.    Said Ndemla
15.    Nassoro Masoud
16.    William Lucian
17.    Edward Christopher
18.    Twaha Ibrahim
COASTAL UNION SC
1.    Fikirini Selemani
2.    Hamadi Juma
3.    Abdi Banda
4.    Yusuf Chuma
5.    Mbwana Hamis
6.    Razak Khalfan
7.    Ally Nassoro
8.    Behewa Sembwana
9.    Suleiman Kassim
10.    Daniel Lyaga
11.    Kenneth Masumbuko
SUB
12.    Mansour Alawi
13.    Ayoub Masoud
14.    Mohamed Mtindi
15.    Crispin Odula
16.    Marcus Ndeheli
17.    Mohamed Kipanga
CHANZO GPLL

No comments:

Post a Comment